Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’

      Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+

      Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+

  • Yeremia 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Nimewasikia manabii wanaotabiri uwongo katika jina langu wakisema, ‘Niliota ndoto! Niliota ndoto!’+

  • Maombolezo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Maono ambayo manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uwongo na yasiyofaa kitu,+

      Nao hawakufunua kosa lako ili kuzuia usipelekwe utekwani,+

      Bali waliendelea kukupa maono yenye ujumbe wa uwongo na unaopotosha.+

  • Ezekieli 13:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mkono wangu uko dhidi ya manabii ambao maono yao ni ya uwongo na wanaotabiri uwongo.+ Nao hawatakuwa miongoni mwa watu ninaowaambia siri zangu; wala hawataandikwa katika orodha ya watu wa nyumba ya Israeli; wala hawatarudi katika nchi ya Israeli; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ 10 Hayo yote ni kwa sababu wamewapotosha watu wangu wakisema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani.+ Ukuta dhaifu unapojengwa, wanaupiga lipu kwa chokaa.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki