Yeremia 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:17 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 11
17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+