10 Kisha nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu hawa+ na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ wakati upanga uko kwenye koo zetu.”*
10 Hayo yote ni kwa sababu wamewapotosha watu wangu wakisema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani.+ Ukuta dhaifu unapojengwa, wanaupiga lipu kwa chokaa.’*+