Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu hawa+ na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ wakati upanga uko kwenye koo zetu.”*

  • Yeremia 6:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+

      Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+

      14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu jeraha* la watu wangu, wakisema,

      ‘Kuna amani! Kuna amani!’

      Wakati hakuna amani.+

  • Yeremia 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu jeraha* la binti ya watu wangu, wakisema,

      “Kuna amani! Kuna amani!”

      Wakati hakuna amani.+

  • Ezekieli 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hayo yote ni kwa sababu wamewapotosha watu wangu wakisema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani.+ Ukuta dhaifu unapojengwa, wanaupiga lipu kwa chokaa.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki