2 Wakorintho 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+ 2 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama walio na huzuni lakini wanaoshangilia sikuzote, kama maskini lakini wanaowatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado walio na vitu vyote.+ Wafilipi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana. Nitasema tena, Shangilieni!+
4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+
10 kama walio na huzuni lakini wanaoshangilia sikuzote, kama maskini lakini wanaowatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado walio na vitu vyote.+