1 Wathesalonike 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baadaye, sisi tulio hai ambao tumebaki, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu+ ili tukutane na Bwana+ hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+
17 Baadaye, sisi tulio hai ambao tumebaki, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu+ ili tukutane na Bwana+ hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+