Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Pia, nikienda na kuwatayarishia mahali, nitakuja tena nami nitawapokea nyumbani kwangu, ili mahali nilipo, ninyi pia muwe hapo.+

  • Yohana 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baba, ninataka wale ambao umenipa wawe pamoja nami mahali nilipo,+ ili waone utukufu wangu ambao umenipa, kwa sababu ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

  • 2 Wakorintho 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tungependelea tusiwepo katika mwili bali tuyafanye makao yetu pamoja na Bwana.+

  • Wafilipi 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ninakabiliwa na mambo haya mawili, kwa maana ninatamani kufunguliwa na kuwa pamoja na Kristo,+ ambako, kwa hakika, ni bora zaidi.+

  • Ufunuo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki