Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baba, ninataka wale ambao umenipa wawe pamoja nami mahali nilipo,+ ili waone utukufu wangu ambao umenipa, kwa sababu ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

  • Waroma 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi—warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi pamoja+ na Kristo—mradi tu tunateseka pamoja+ ili pia tutukuzwe pamoja.+

  • Wafilipi 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ninakabiliwa na mambo haya mawili, kwa maana ninatamani kufunguliwa na kuwa pamoja na Kristo,+ ambako, kwa hakika, ni bora zaidi.+

  • 1 Wathesalonike 4:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu+ na tarumbeta ya Mungu, na wale waliokufa katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza.+ 17 Baadaye, sisi tulio hai ambao tumebaki, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu+ ili tukutane na Bwana+ hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki