Mathayo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao huja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwamwitu wakali.+ Matendo 20:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ninajua kwamba nitakapoondoka mbwamwitu wenye kukandamiza wataingia miongoni mwenu+ nao hawatalitendea kundi kwa wororo, 30 na kutoka miongoni mwenu watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+
15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao huja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwamwitu wakali.+
29 Ninajua kwamba nitakapoondoka mbwamwitu wenye kukandamiza wataingia miongoni mwenu+ nao hawatalitendea kundi kwa wororo, 30 na kutoka miongoni mwenu watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+