Waroma 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, kupitia Bwana wetu Yesu Kristo na kupitia upendo wa roho, kwamba mjikaze pamoja nami katika kusali kwa Mungu kwa ajili yangu,+ 1 Wathesalonike 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu.+ Waebrania 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+
30 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, kupitia Bwana wetu Yesu Kristo na kupitia upendo wa roho, kwamba mjikaze pamoja nami katika kusali kwa Mungu kwa ajili yangu,+
18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+