15 Lakini Mungu, aliyenitenga tangu tumbo la uzazi la mama yangu na kuniita kupitia fadhili zake zisizostahiliwa,+ alipoona vema 16 kumfunua Mwana wake kupitia kwangu, ili niyatangazie mataifa habari njema kumhusu,+ sikushauriana papo hapo na mwanadamu yeyote;