Waebrania 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+ 1 Petro 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lichungeni kundi la Mungu+ lililo chini ya utunzaji wenu, mkiwa waangalizi,* si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari mbele za Mungu;+ si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;
5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+
2 Lichungeni kundi la Mungu+ lililo chini ya utunzaji wenu, mkiwa waangalizi,* si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari mbele za Mungu;+ si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;