Waebrania 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+ 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+
2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+