2 Wathesalonike 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndiyo sababu Mungu anaacha wapotoshwe kupitia udanganyifu, na hivyo waamini uwongo,+ 1 Timotheo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu,
4 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu,