Luka 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 naye atatawala akiwa Mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+ Waebrania 7:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na hilo linakuwa wazi hata zaidi kuhani mwingine+ anaposimama ambaye ni kama Melkizedeki,+ 16 ambaye amekuwa hivyo, si kupitia matakwa ya kisheria yanayotegemea uzao wa kimwili, bali kupitia nguvu za uzima usioweza kuharibika.+
15 Na hilo linakuwa wazi hata zaidi kuhani mwingine+ anaposimama ambaye ni kama Melkizedeki,+ 16 ambaye amekuwa hivyo, si kupitia matakwa ya kisheria yanayotegemea uzao wa kimwili, bali kupitia nguvu za uzima usioweza kuharibika.+