Zaburi 102:25-27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Zamani za kale uliiweka misingi ya dunia,Na mbingu ni kazi ya mikono yako.+ 26 Zitaangamia, lakini wewe utadumu;Zote zitachakaa kama vazi. Na kama nguo utazibadili, nazo zitatokomea. 27 Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitaisha kamwe.+
25 Zamani za kale uliiweka misingi ya dunia,Na mbingu ni kazi ya mikono yako.+ 26 Zitaangamia, lakini wewe utadumu;Zote zitachakaa kama vazi. Na kama nguo utazibadili, nazo zitatokomea. 27 Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitaisha kamwe.+