Ayubu 36:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naam, Mungu ni mkuu kuliko tunavyoweza kujua;+Idadi ya miaka yake haiwezi kufahamika.*+ Malaki 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa maana mimi ni Yehova; sibadiliki.*+ Nanyi ni wana wa Yakobo; bado hamjaangamia. Yakobo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+
17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+