10 Na: “Hapo mwanzoni, Ee Bwana, uliiweka misingi ya dunia, na mbingu ni kazi za mikono yako. 11 Hizo zitaangamia, lakini wewe utadumu; na zote zitachakaa kama vazi, 12 nawe utazikunja kama kanzu, kama vazi, nazo zitabadilishwa. Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitafikia mwisho kamwe.”+