Mathayo 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Basi kila mtu anayenikiri mbele ya watu,+ mimi pia nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni.+ 1 Wakorintho 15:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya+ katika kazi ya Bwana, mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.
32 “Basi kila mtu anayenikiri mbele ya watu,+ mimi pia nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni.+
58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya+ katika kazi ya Bwana, mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.