Waebrania 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali bora zaidi, yaani, panapohusiana na mbinguni. Kwa hiyo, Mungu haoni aibu kuwahusu, anapoitwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji kwa ajili yao.+
16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali bora zaidi, yaani, panapohusiana na mbinguni. Kwa hiyo, Mungu haoni aibu kuwahusu, anapoitwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji kwa ajili yao.+