Waebrania 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi anaweza pia kuwaokoa kikamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote yuko hai ili kuwaombea.+ Ufunuo 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu ulilishika neno kuhusu uvumilivu wangu,*+ mimi pia nitakulinda kutokana na ile saa ya jaribu+ itakayokuja juu ya dunia nzima inayokaliwa, ili kuwajaribu wale wanaokaa duniani.
25 Basi anaweza pia kuwaokoa kikamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote yuko hai ili kuwaombea.+
10 Kwa sababu ulilishika neno kuhusu uvumilivu wangu,*+ mimi pia nitakulinda kutokana na ile saa ya jaribu+ itakayokuja juu ya dunia nzima inayokaliwa, ili kuwajaribu wale wanaokaa duniani.