Mathayo 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe; Luka 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa kamwe;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa kamwe. Endeleeni kusamehe,* nanyi mtasamehewa.*+ Waroma 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa mwingine?+ Kwa bwana wake yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova* anaweza kumsimamisha.
37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa kamwe;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa kamwe. Endeleeni kusamehe,* nanyi mtasamehewa.*+
4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa mwingine?+ Kwa bwana wake yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova* anaweza kumsimamisha.