Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+ 1 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu, je, ninyi si wa kimwili+ na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?
13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+
3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu, je, ninyi si wa kimwili+ na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?