Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Methali 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeyote anayesamehe* kosa hutafuta upendo,+Lakini yule anayeendelea kuongea kuhusu jambo huwatenganisha marafiki wa karibu.+
16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
9 Yeyote anayesamehe* kosa hutafuta upendo,+Lakini yule anayeendelea kuongea kuhusu jambo huwatenganisha marafiki wa karibu.+