Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+

      Lakini neno kali* huchochea hasira.+

  • 2 Timotheo 2:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana, bali anahitaji kuwa mpole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, anayejizuia anapokosewa,+ 25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa.+ Huenda Mungu akawasaidia kutubu* na kupata ujuzi sahihi wa kweli,+

  • Tito 3:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema, 2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki