7 Na tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, kwa kuwa tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki katika mateso, ndivyo pia mtakavyoshiriki katika faraja.+
24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami ninakabili dhiki za Kristo ambazo bado hazimo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake,+ ambao ni kutaniko.+