Waroma 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vivyo hivyo ninyi, mjihesabu kuwa wafu kuhusiana na dhambi lakini walio hai kuhusiana na Mungu kupitia Kristo Yesu.+ Wakolosai 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu. 1 Yohana 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila mtu anayekaa katika muungano na yeye hana mazoea ya kufanya dhambi;+ mtu yeyote aliye na mazoea ya kufanya dhambi hajamwona wala kumjua.
11 Vivyo hivyo ninyi, mjihesabu kuwa wafu kuhusiana na dhambi lakini walio hai kuhusiana na Mungu kupitia Kristo Yesu.+
5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.
6 Kila mtu anayekaa katika muungano na yeye hana mazoea ya kufanya dhambi;+ mtu yeyote aliye na mazoea ya kufanya dhambi hajamwona wala kumjua.