-
Waroma 12:6-8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana kulingana na fadhili zisizostahiliwa tulizopewa,+ kama ni ya unabii, na tutoe unabii kulingana na imani yetu; 7 au kama ni ya huduma, na tuwe katika huduma hii; au yule anayefundisha, na aendelee kufundisha;+ 8 au yule anayetia moyo,* na atie moyo;*+ yule anayegawa,* na afanye hivyo kwa ukarimu;+ yule anayesimamia,* na afanye hivyo kwa bidii;*+ yule anayeonyesha rehema, na afanye hivyo kwa uchangamfu.+
-