1 Wakorintho 15:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa lazima uvae kutoweza kufa.+ 2 Timotheo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ ambaye amefuta kifo+ na kuangaza nuru juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+ 1 Petro 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mchungaji mkuu+ atakapofunuliwa, mtapokea taji la utukufu lisilofifia.+
53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa lazima uvae kutoweza kufa.+
10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ ambaye amefuta kifo+ na kuangaza nuru juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+