Yohana 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia kwa maana ninaenda zangu kuwatayarishia mahali.+ 2 Timotheo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tangu sasa na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.
2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia kwa maana ninaenda zangu kuwatayarishia mahali.+
8 Tangu sasa na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.