9 Vivyo hivyo, wanawake wanapaswa kujipamba kwa mavazi yanayofaa, kwa kiasi na utimamu wa akili, si kwa mitindo ya kusuka nywele, dhahabu, lulu, au mavazi ya bei ghali sana,+ 10 bali kwa njia inayowafaa wanawake wanaokiri kwamba wanamtumikia Mungu,+ yaani, kupitia matendo mema.