Luka 22:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, kama Baba yangu alivyofanya agano pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+ 30 ili mle na kunywa mezani pangu katika Ufalme wangu,+ na kuketi kwenye viti vya ufalme+ ili kuyahukumu makabila 12 ya Israeli.+ Yohana 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia kwa maana ninaenda zangu kuwatayarishia mahali.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+
29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, kama Baba yangu alivyofanya agano pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+ 30 ili mle na kunywa mezani pangu katika Ufalme wangu,+ na kuketi kwenye viti vya ufalme+ ili kuyahukumu makabila 12 ya Israeli.+
2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia kwa maana ninaenda zangu kuwatayarishia mahali.+
29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+