Yohana 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kupitia kwake kilikuwa uzima, na uzima ulikuwa nuru ya wanadamu.+ Yohana 6:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+