Yohana 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu muwe na amani.+ Ulimwenguni mtapata dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+ 1 Yohana 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tunajua kwamba kila mtu aliyezaliwa kutokana na Mungu hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na yule aliyezaliwa kutokana na Mungu,* na yule mwovu hawezi kumshika.*+
33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu muwe na amani.+ Ulimwenguni mtapata dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+
18 Tunajua kwamba kila mtu aliyezaliwa kutokana na Mungu hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na yule aliyezaliwa kutokana na Mungu,* na yule mwovu hawezi kumshika.*+