3 Lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitoki kwa Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+
7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea ulimwenguni,+ wale wasiokiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili.+ Huyu ndiye yule mdanganyifu na mpinga-Kristo.+