Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watoto wadogo, ni saa ya mwisho, na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga-Kristo anakuja,+ hata sasa wapinga-Kristo wengi wametokea,+ na kwa sababu hiyo tunajua kwamba ni saa ya mwisho.

  • 1 Yohana 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni nani aliye mwongo kama si yule anayekana kwamba Yesu ndiye Kristo?+ Huyo ndiye mpinga-Kristo,+ yule anayemkana Baba na Mwana.

  • 1 Yohana 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitoki kwa Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana watu fulani wameingia kisiri kati yenu ambao Maandiko yalisema tangu zamani kwamba wanastahili hukumu; watu hao hawamwogopi Mungu, wanazitumia fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu*+ wakimkana mmiliki* wetu pekee na Bwana wetu, Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki