Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa kweli, fumbo la uasi sheria huu tayari linafanya kazi,+ lakini ni mpaka tu yule anayeuzuia sasa atakapoondolewa.

  • 2 Yohana 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea ulimwenguni,+ wale wasiokiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili.+ Huyu ndiye yule mdanganyifu na mpinga-Kristo.+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana watu fulani wameingia kisiri kati yenu ambao Maandiko yalisema tangu zamani kwamba wanastahili hukumu; watu hao hawamwogopi Mungu, wanazitumia fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu*+ wakimkana mmiliki* wetu pekee na Bwana wetu, Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki