Yohana 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akamjibu: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika neno langu,+ naye Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+ 2 Yohana 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na upendo unamaanisha hivi, kwamba tuendelee kutembea kulingana na amri zake.+ Hii ndiyo amri, kama mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mnapaswa kuendelea kutembea ndani yake.
23 Yesu akamjibu: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika neno langu,+ naye Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+
6 Na upendo unamaanisha hivi, kwamba tuendelee kutembea kulingana na amri zake.+ Hii ndiyo amri, kama mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mnapaswa kuendelea kutembea ndani yake.