Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

  • Waefeso 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa kuwa wakati fulani mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana.+ Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,

  • Tito 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu, lakini wanamkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza, wasiotii, na wasiostahili kufanya kazi yoyote njema.

  • 1 Yohana 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mtu anayesema, “Mimi nimemjua,” na bado hashiki amri zake ni mwongo, na kweli haimo ndani ya mtu huyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki