Yohana 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akamjibu: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika neno langu,+ naye Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+
23 Yesu akamjibu: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika neno langu,+ naye Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+