Mathayo 10:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Yeyote anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ na yeyote anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu. Filemoni 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini pamoja na hayo, pia nitayarishie makao, kwa maana ninatumaini kwamba kupitia sala zenu nitarudishwa kwenu.*+ 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+
41 Yeyote anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ na yeyote anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.
22 Lakini pamoja na hayo, pia nitayarishie makao, kwa maana ninatumaini kwamba kupitia sala zenu nitarudishwa kwenu.*+