Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 8:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yesu akamuuliza: “Jina lako ni nani?” Akajibu: “Kikosi,” kwa sababu alikuwa ameingiwa na roho wengi waovu. 31 Nao wakaendelea kumsihi asiwaamuru waende katika shimo refu lisilo na mwisho.*+

  • 2 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakika Mungu hakujizuia kuwaadhibu malaika waliofanya dhambi,+ bali aliwatupa ndani ya Tartaro,*+ akiwaweka kwenye minyororo* ya giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu.+

  • Ufunuo 20:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa shimo refu lisilo na mwisho*+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamkamata yule joka,+ yule nyoka wa zamani,+ ambaye ni Ibilisi+ na Shetani,+ na kumfunga kwa miaka 1,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki