1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+ Wafilipi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kufanya mambo yote bila kunung’unika+ wala kubishana,+