Waroma 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ni nani atakayewashtaki waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+ Waefeso 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kama alivyotuchagua tuwe katika muungano naye* kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo. Wakolosai 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 sasa amewapatanisha tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake, ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari na bila shtaka lolote mbele zake+—
4 kama alivyotuchagua tuwe katika muungano naye* kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.
22 sasa amewapatanisha tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake, ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari na bila shtaka lolote mbele zake+—