Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:1-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa idadi ya wanadamu ilipoanza kuongezeka duniani, nao wakazaa mabinti, 2 wana wa Mungu wa kweli*+ wakaanza kuona kwamba mabinti wa wanadamu ni warembo. Basi wakaanza kuwachukua wote waliowachagua ili wawe wake zao. 3 Ndipo Yehova akasema: “Roho yangu haitamvumilia mwanadamu daima,+ kwa sababu yeye ni mwili tu.* Kwa hiyo, jumla ya siku zake itakuwa miaka 120.”+

      4 Wanefili* walikuwa duniani siku hizo na baadaye. Wakati huo wana wa Mungu wa kweli waliendelea kufanya ngono na mabinti wa wanadamu, nao wakawazalia wana. Wana hao walikuwa watu wenye nguvu wa nyakati za kale, wanaume maarufu.

  • 1 Petro 3:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na katika hali hiyo alienda na kuwahubiria roho walio gerezani,+ 20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira* katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane,* walichukuliwa salama kupitia maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki