Waroma 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa kuwa yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kitu kilicho nje, juu ya mwili.+ Ufunuo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Ninajua dhiki na umaskini wako—lakini wewe ni tajiri+—na kufuru la wale wanaojiita Wayahudi na kwa kweli sio, bali wao ni sinagogi la Shetani.+
28 Kwa kuwa yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kitu kilicho nje, juu ya mwili.+
9 ‘Ninajua dhiki na umaskini wako—lakini wewe ni tajiri+—na kufuru la wale wanaojiita Wayahudi na kwa kweli sio, bali wao ni sinagogi la Shetani.+