10 kama walio na huzuni lakini wanaoshangilia sikuzote, kama maskini lakini wanaowatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado walio na vitu vyote.+
18 Waambie watende mema, wawe matajiri katika matendo mazuri, wawe wakarimu, tayari kushiriki vitu na wengine,+19 wakijiwekea salama hazina ya msingi mzuri kwa ajili ya wakati ujao,+ ili waushike imara uzima ulio wa kweli.+
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+