Yohana 8:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.” Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa watoto wa Abrahamu,+ mngefanya kazi za Abrahamu. Ufunuo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Ninajua dhiki na umaskini wako—lakini wewe ni tajiri+—na kufuru la wale wanaojiita Wayahudi na kwa kweli sio, bali wao ni sinagogi la Shetani.+
39 Wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.” Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa watoto wa Abrahamu,+ mngefanya kazi za Abrahamu.
9 ‘Ninajua dhiki na umaskini wako—lakini wewe ni tajiri+—na kufuru la wale wanaojiita Wayahudi na kwa kweli sio, bali wao ni sinagogi la Shetani.+