28 Kwa kuwa yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kitu kilicho nje, juu ya mwili.+ 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa ya mtu huyo hutoka kwa Mungu, si kwa wanadamu.+