Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama toleo la jioni la nafaka.+ Ufunuo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moshi wa uvumba kutoka kwenye mkono wa huyo malaika ukapanda pamoja na sala+ za watakatifu mbele za Mungu.
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama toleo la jioni la nafaka.+
4 Moshi wa uvumba kutoka kwenye mkono wa huyo malaika ukapanda pamoja na sala+ za watakatifu mbele za Mungu.