Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kisha watu watawakabidhi kwenye dhiki+ na kuwaua ninyi,+ nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Matendo 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini Sauli aliendelea kuwatisha wanafunzi wa Bwana akitaka kuwaua,+ basi akamwendea kuhani mkuu 2 Wakorintho 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana hatutaki mkose kujua, akina ndugu, kuhusu dhiki tuliyopata katika mkoa wa Asia.+ Tulikuwa na mkazo mkubwa sana unaozidi nguvu zetu wenyewe, hivi kwamba hatukuwa na uhakika hata kuhusu uhai wetu.+
9 “Kisha watu watawakabidhi kwenye dhiki+ na kuwaua ninyi,+ nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
8 Kwa maana hatutaki mkose kujua, akina ndugu, kuhusu dhiki tuliyopata katika mkoa wa Asia.+ Tulikuwa na mkazo mkubwa sana unaozidi nguvu zetu wenyewe, hivi kwamba hatukuwa na uhakika hata kuhusu uhai wetu.+